Total Pageviews

TAHADHARI MVUA KUBWA KUNYESHA......KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA...MSIPUUZE

Maeneo yanayotarajiwa kuathirika ni Mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani na Morogoro pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba
--> Wakazi wa maeneo tajwa wanashauriwa kuchukua tahadhari na hatua stahiki. Hali hii inatokana na kuimarika kwa ukanda wa mvua sambamba na uwepo kimbunga FANTALA katika Bahari ya Hindi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »