https://www.facebook.com/public/Festo-David-Jr
Hii imetokea jijijni mwanza ambapo mwanaume mmoja amekutwa akibanjuana na dada wa mke wake polini.........mchezo huo waliupanga siku nyingi kumbe mke wake alikua ameshaugundua na akatega mitego ambayo mwisho wa siku alikuja kuwafumania.......hii imekua suala la kawaida sana kwa sasa hivyo kufanya walio kwenye ndoa kushindwa kukaa na ndugu zao katika familia kuogopa kuingiliwa kwenye ndoa.