Total Pageviews

Mishahara Hewa, ilikuwa ikiliwa na nani? Ni Vema Tukawajua na Wachukuliwe Hatua




Naomba mnisaidie kidogo,

Ni nani hasa aliyekuwa anakula hii mishahara hewa, ni wafanyakazi waliofukuzwa /kuachishwa kazi/kufariki nk na fedha kuendelea kuingia kwenye akaunti zao au viongozi ambao walikuwa wanajua fulani amefariki /amestaafu n.k na kujipakulia hiyo mishahara?

Je,mbinu gani ilikuwa inatumika?

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »